Jumamosi, 5 Novemba 2016

PICHA:AKAA KWENYE JENEZA SIKU NZIMA ILI AZOEE KIFO.

Tags



KIFO CHA MUUZA SAMAKI CHAZUA MAANDAMANO MOROCCO.

Tags
Maelfu ya raia wa Morocco juzi walifanya maandamano katika miji kadhaa baada ya muuza samaki mmoja kugongwa na gali la kubebea takataka hadi kufa alipojaribu kuchukua samaki wake ambao alipokonywa na maafsa wa Polisi.
Kifo cha Maouhcine Fikri katika mji wa kaskazini wa Al Houciema siku ya Ijumaa kilizua hasira kali miongoni mwa raia katika mitandao ya kijamii.
Mfalme wa Morocco king Mohammed amewaagiza maafsa kutembelea familia ya Fikri.

TRUMP:CLINTON ATAANZISHA VITA KUU YA TATU YA DUNIA.

Tags
Mgombea wa urais wa Marekani kupitia chama cha Democratic bw.Donald Trump amesema mpango wa mpinzani wake Hilary Clinton kuhusu kutatua mzozo wa SYRIA UTAANZISHA VITA KUU YA TATU YA DUNIA.
Amesema Marekani inafaa kuangazia zaidi kushinda vita dhidi ya kundi la ISLAMIC STATE badala ya kulenga kumshawishi au kumshinikiza Rais wa SYRIA Bashar Assad kungatuka uongozini.
Bwn.Trump pia amewashambulia wafuasi na na viongozi wa Republican ambao wamekataa kumuunga mkono...

MWANAMKE MWENYE MACHO YA KUSHANGAZA AFUNGWA JELA.

Tags
Mhamiaji kutoka AFGHANISTAN ,ambaye alipata umaarufu picha yake ilipochapishwa kwanza katika jarida la National Geographic miaka thelathini iliyopita amekamatwa.
Maafisa wamesema amekamatwa kwa kua na nyaraka bandia za vitambulisho.
Sharbat GULA alipata umaarufu mwaka 1985 kutokana na piha hiyo iliyopigwa akiwa na umri wa miaka 12.Macho yake yalikua na rangi ya kijani jambo amabalo lilifanya kufahamika kwa jina la GREEN EYED GIRL.
Maafisa wanasema alikamatwa na idara ya uchunguzi ya Pakistani(FIA) baada ya kuwasilisha maombi ya kitambulisho akitumia jina la SHARBAT BIBI.

MAPYA YAIBUKA KIFO CHA THOMAS MASHALI.

Tags
Tasnia ya michezo nchini hivi majuzi ilipata pigo baada ya kumpoteza bondia Thomas MASHALI ambaye alifariki baada ya kupigwa na watu wasio julikana.Akiongea na blog hii Shuhuda wa tukio hilo alisema Mashali alikwenda KIMARA kwa ajili kudai pesa yake kwa mtu ambaye alimkopesha.
Aiongea alisema ..Tulikua wote mpaka jioni aliponiambia anakwenda kimara kudai pesa yake kwa mtu ambaye alimuuzia simu aina ya smartphone hivyo alikwenda kdeni lake lililobaki.
Akiongea baba yake mzazi alisema hakuwahi kuhudhulia hata pambano moja la Mashali na hawakuwahi kuonana kwa miezi mitatu mpaka alipotoweka duniani.
Ikumbukwe Thomas Mashali alifariki baada ya kupigwa na mapanga na vitu vyenye ncha kali na kufariki dunia wakati akipelekwa hospitali ya Muhimbili.

HUU NDIO WIMBO MPYA WA ALI KIBA NA OMMY DIMPOZ.

Tags
Mkali wa bongo Fleva Ali kiba amefunguka na kusema wazi juu ya ujio wa wimbo mpya ambao amemshirikisha Ommy Dimpoz uiitwao KAJIANDAE.
Kiukweli ni wimbo mzuri pili maandaizi ya video tumeshafanya na jina la wimbo unaitwa Kajiandae,So mashabiki wangu na mashabiki wa Ommy Dimpoz wakati wowote watatpata radha nzuri tu kwani najua ni kitu gani mashabiki wa mziki wangu wanachotaka kutoka kwangu..Alisema ALI KIBA.

MSUNGO WA MADEBE YUPO MADUKANI

Tags
Baada ya kusambaa kwa picha kadhaa zikionesha watu wakiwa katika kaburi lenye jina la Madebe Lidai,na madebe mwenyewe kutueleza kuwa haikua kweli amefariki bali ni katika upigaji picha wa filamu mpya,sasa filamu hiyo iko madukani.
Akiongea na mimi Madebe amesema <<<ni kweli kaka nilikua katika upigaji picha ya filamu yangu inayoitwa msungo na kila kitu kipo sawa na sasa mzigo upo sokoni.
Ikumbukwe Madebe Lidai ndiye msanii anayekuja ka kasi nchi kwa sasa baada ya kutamba na filamu yake ya KASUMBA,NOMGWA,MAKAME nk.
Mmoja ya washiriki wa filamu hiyo ya MSUNGO ambayo iko madukani kwa sasa.
 
Madebe Lidai