Jumamosi, 5 Novemba 2016

MAPYA YAIBUKA KIFO CHA THOMAS MASHALI.

Tags

Tasnia ya michezo nchini hivi majuzi ilipata pigo baada ya kumpoteza bondia Thomas MASHALI ambaye alifariki baada ya kupigwa na watu wasio julikana.Akiongea na blog hii Shuhuda wa tukio hilo alisema Mashali alikwenda KIMARA kwa ajili kudai pesa yake kwa mtu ambaye alimkopesha.
Aiongea alisema ..Tulikua wote mpaka jioni aliponiambia anakwenda kimara kudai pesa yake kwa mtu ambaye alimuuzia simu aina ya smartphone hivyo alikwenda kdeni lake lililobaki.
Akiongea baba yake mzazi alisema hakuwahi kuhudhulia hata pambano moja la Mashali na hawakuwahi kuonana kwa miezi mitatu mpaka alipotoweka duniani.
Ikumbukwe Thomas Mashali alifariki baada ya kupigwa na mapanga na vitu vyenye ncha kali na kufariki dunia wakati akipelekwa hospitali ya Muhimbili.


EmoticonEmoticon