Jumanne, 18 Oktoba 2016

FORBES :DAIMOND NDIYE MSANII TAJIRI ZAIDI AFRIKA MASHARIKI.

Tags
Jarida la Forbes la Nchini Marekani limetoa orodha ya wasanii matajili Duniani, Afika na katika kanda mbalimbali ambapo kwa upande wa Afrika mashariki Daimond Platnum ameongoza kwa kua na utajili wa Dolla mil.4.5 ambao ni zaidi ya bilioni 10 za kitanzania hasa baada ya kununua jumba la kifahari nchini Afrika kusini.Vitu vingine ambavyi Chibu dangote kama anavyofahamika na mashabiki wake ambavyo anamiliki ni pamoja na Majumba ya kifahari dar es salaam, Magari ya kifahari,Berber shop na maduka mbalimbali ya nguo za kisasa na mitindo na vingine vingi.Kwa Afrika mashariki daimond amefatiwa na Dr.Jose chamilion wa Uganda mwenye utajili unaokadiliwa wa dola mil.3.9..Wnafuata Akothee na Jaguar anashika nafasi ya nne.Wnachokiangalia jarida la Forbes sio pesa anazomiliki msanii katika akaunti zake bali ni thamani ya vitu anavyomiliki.

POGBA KINARA WA MAUZO YA JEZI EPL.

Tags
Kwa mujibu wa takwimu za SPORTS DIRECT staa mpya katika club ya Manchester united Poul POgba ambaye aliweka rekodi katika uhamisho wake katika dirisha lililopita ndiye anayeongoza kwa mauzo ya jezi kwa sasa kuliko staa yeyote yule.Dullahmasende.blogspot.com inakuletea mastaa 10 ambao wanaongoza kwa mauzo ya jezi.1.POGBA 2.IBRAHIMOVIC 3.ALEXIS SANCHEZ 4.MESUT OZIL 5.PHILIPE COUTINHO 6.DAVID DE GEA 7.SADIO MANE 8.DIMITRI PAYET 10.MARCUS RASHFORD.