Jumatano, 9 Novemba 2016

HUYU NDIYE YULE ASKARI FEKI ALIYEKAMATWA MWANZA.

Tags



AKAMATWA AKISAFIRISHA MAITI KWA PIKIPIKI.

Tags
Huyu ndiye yule jamaa aliyekamatwa akisafirisha maiti kwa pikipiki baada ya familia ya marehemu kutokua na uwezo wa kusafirisha.

AGONGA GARI LA POLISI AKIJIPIGA SELFIE

Tags
Mwanafunzi mmoja wa chuo kikuu cha nchini Marekani aligongesha gari lake kwa lile la polisi wakati akijipiga selfie huku akiendesha gari.

Miranda Rader mwenye umri wa miaka 19,aliligonga gari la polisi alipokua akimtumia picha za utupu mpenzi wake kupitia mtandao wa Snapchart.

Ajali hiyo ilitokea eneo la Bryan umbali wa km 160 kaskazin mwa mji wa Houston,ilisababisha mfuko wa hewa kuchomoka.
Alikamatwa kwa kushukiwa kwa kuendesha gari akiwa amelewa na kuachiwa kwa dhamana ya dolla 2000.

PICHA:HILLARY CLINTON,NA TRUMP WAKIWA WATOTO.

Tags


MAMBA MKUBWA AKAMATWA NA KUACHIWA SRI LANKA.

Tags
Mamba mkubwa mwenye urefu wa futi 17 amekamatwa eneo la Matara,Sri lanka.Mamba huyo alikua amekwama kwenye mfereji unaosafirisha maji hadi mto NILWALA.
Alisafirishwa na kuachiwa huru na maafsa wanyama pori.

CLINTON AKUBALI KUSHINDWA.

Tags
Mgombea wa urais nchini Marekani bwn,Donald Trump amemshinda bi. Hillary Clinton wa chama cha Democratic.
Trump alishinda majimbo mengi yaliyokua yanashundaniwa.Trump amepata kura 278 za wajumbe wakati Clinton alipata kura 218.
Baada ya matokeo kutangazwa bi. Clinton alimpigia simu Trump na kumpongeza kwa ushindi huo.