About Me
Home
Archives for 11/09/16
Jumatano, 9 Novemba 2016
AGONGA GARI LA POLISI AKIJIPIGA SELFIE
Penulis DULLAH MASENDE
Diterbitkan 01:51:00
Tags
Mwanafunzi mmoja wa chuo kikuu cha nchini Marekani aligongesha gari lake kwa lile la polisi wakati akijipiga selfie huku akiendesha gari.
Miranda Rader mwenye umri wa miaka 19,aliligonga gari la polisi alipokua akimtumia picha za utupu mpenzi wake kupitia mtandao wa Snapchart.
Ajali hiyo ilitokea eneo la Bryan umbali wa km 160 kaskazin mwa mji wa Houston,ilisababisha mfuko wa hewa kuchomoka.
Alikamatwa kwa kushukiwa kwa kuendesha gari akiwa amelewa na kuachiwa kwa dhamana ya dolla 2000.
Miranda Rader mwenye umri wa miaka 19,aliligonga gari la polisi alipokua akimtumia picha za utupu mpenzi wake kupitia mtandao wa Snapchart.
Ajali hiyo ilitokea eneo la Bryan umbali wa km 160 kaskazin mwa mji wa Houston,ilisababisha mfuko wa hewa kuchomoka.
Alikamatwa kwa kushukiwa kwa kuendesha gari akiwa amelewa na kuachiwa kwa dhamana ya dolla 2000.
CLINTON AKUBALI KUSHINDWA.
Penulis DULLAH MASENDE
Diterbitkan 01:38:00
Tags
Mgombea wa urais nchini Marekani bwn,Donald Trump amemshinda bi. Hillary Clinton wa chama cha Democratic.
Trump alishinda majimbo mengi yaliyokua yanashundaniwa.Trump amepata kura 278 za wajumbe wakati Clinton alipata kura 218.
Baada ya matokeo kutangazwa bi. Clinton alimpigia simu Trump na kumpongeza kwa ushindi huo.
Trump alishinda majimbo mengi yaliyokua yanashundaniwa.Trump amepata kura 278 za wajumbe wakati Clinton alipata kura 218.
Baada ya matokeo kutangazwa bi. Clinton alimpigia simu Trump na kumpongeza kwa ushindi huo.
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)