Jumanne, 18 Oktoba 2016

FORBES :DAIMOND NDIYE MSANII TAJIRI ZAIDI AFRIKA MASHARIKI.

Tags

Jarida la Forbes la Nchini Marekani limetoa orodha ya wasanii matajili Duniani, Afika na katika kanda mbalimbali ambapo kwa upande wa Afrika mashariki Daimond Platnum ameongoza kwa kua na utajili wa Dolla mil.4.5 ambao ni zaidi ya bilioni 10 za kitanzania hasa baada ya kununua jumba la kifahari nchini Afrika kusini.Vitu vingine ambavyi Chibu dangote kama anavyofahamika na mashabiki wake ambavyo anamiliki ni pamoja na Majumba ya kifahari dar es salaam, Magari ya kifahari,Berber shop na maduka mbalimbali ya nguo za kisasa na mitindo na vingine vingi.Kwa Afrika mashariki daimond amefatiwa na Dr.Jose chamilion wa Uganda mwenye utajili unaokadiliwa wa dola mil.3.9..Wnafuata Akothee na Jaguar anashika nafasi ya nne.Wnachokiangalia jarida la Forbes sio pesa anazomiliki msanii katika akaunti zake bali ni thamani ya vitu anavyomiliki.

1 comments so far

Baccarat in Australia | Free online Baccarat - CasinoGuide.com
Baccarat was one of the first Australian casinos to make their 바카라 way to the 온카지노 casino. Australian casino sites were established in 1992. worrione


EmoticonEmoticon