Jumatatu, 17 Oktoba 2016

TANGULIA MWALIMU SCORPION

Tags
Tukio la kijana Saidi Ally ambaye aliyetobolewa macho wiki kadhaa na mtu aliyefahamika kwa jina la SCORPION katika maeneo ya Buguruni sheli jijini dar es salaam lilizua mijadala mingi mitandaoni.Hali hiyo ilipelekea msanii ENOCK MICHAEL kuigiza kipande cha video chenye kuhusiana na tukio hilo na kupewa jina la mwalimu scorpion.Kwa habari ambazo hazijathibitishwa ni kwamba kijana Enock amepata ajali mbaya ya Pikipiki na kufariki papo hapo,Endelea kufuatilia Dullahmasende.blogspot.com ili kujua undani wa taarifa hiyo.