Jumatano, 9 Novemba 2016

CLINTON AKUBALI KUSHINDWA.

Tags

Mgombea wa urais nchini Marekani bwn,Donald Trump amemshinda bi. Hillary Clinton wa chama cha Democratic.
Trump alishinda majimbo mengi yaliyokua yanashundaniwa.Trump amepata kura 278 za wajumbe wakati Clinton alipata kura 218.
Baada ya matokeo kutangazwa bi. Clinton alimpigia simu Trump na kumpongeza kwa ushindi huo.


EmoticonEmoticon