Msanii mkongwe katika tasnia ya bongo movie Rose Ndauka jana amemtamulisha kwa mara ya kwanza msanii wake ambaye yuko chini ya lebo yake ya NDAUKA ADVERTS.Akiongea mbele ya waandishi wa habari ofisinin kwake SINZA..Rose alisema anamtambulisha CASSO baada ya kumuandaa kwa muda mrefu ili aje kua msanii mkubwa hapo siku za baadae.Wimbo huo ambao umerekodiwa kwa producer man water mpaka sasa upo katika MKITO.COM hivyo nawaaomba mashabiki wangu wanipokee na wanipe sapoti...aliongeza CASSO.
About Me
Home
Archives for 10/21/16
Ijumaa, 21 Oktoba 2016
MISS KATOTO:KAZI KWANZA,MAPENZI BAADAE
Penulis DULLAH MASENDE
Diterbitkan 00:36:00
Tags
Model anayekuja kwa kasi katika tasnia ya mitindo nchini Miss katoto amesema kazi kwake ndio kila kitu kwa sasa na hataki kuchanganya na Mapenzi.Akiongea wakati wa upigaji wa picha ambazo zitatumika katika moja ya jarida la mitindo nchini alisema...Kwa sasa naangalia kazi ambayo itanipatia mkwanja mrefu,..mpka sasa mimi nifanya kazi kadhaa ambazo bado hazijatoka na pindi zitakapotoka basi naamini watu watanielewa vizuri so Nimefanya kama Video queen katika video za wasani kadhaa wa bongo fleva na Mtangazo ya biashara.
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)