Msanii mkongwe katika tasnia ya bongo movie Rose Ndauka jana amemtamulisha kwa mara ya kwanza msanii wake ambaye yuko chini ya lebo yake ya NDAUKA ADVERTS.Akiongea mbele ya waandishi wa habari ofisinin kwake SINZA..Rose alisema anamtambulisha CASSO baada ya kumuandaa kwa muda mrefu ili aje kua msanii mkubwa hapo siku za baadae.Wimbo huo ambao umerekodiwa kwa producer man water mpaka sasa upo katika MKITO.COM hivyo nawaaomba mashabiki wangu wanipokee na wanipe sapoti...aliongeza CASSO.
About Me
Ijumaa, 21 Oktoba 2016
CASSO BENZEMA ATAMBULISHA NGOMA MPYA
Penulis DULLAH MASENDE
Diterbitkan 00:53:00
Tags
Artikel Terkait
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
EmoticonEmoticon