Jumamosi, 5 Novemba 2016

MSUNGO WA MADEBE YUPO MADUKANI

Tags

Baada ya kusambaa kwa picha kadhaa zikionesha watu wakiwa katika kaburi lenye jina la Madebe Lidai,na madebe mwenyewe kutueleza kuwa haikua kweli amefariki bali ni katika upigaji picha wa filamu mpya,sasa filamu hiyo iko madukani.
Akiongea na mimi Madebe amesema <<<ni kweli kaka nilikua katika upigaji picha ya filamu yangu inayoitwa msungo na kila kitu kipo sawa na sasa mzigo upo sokoni.
Ikumbukwe Madebe Lidai ndiye msanii anayekuja ka kasi nchi kwa sasa baada ya kutamba na filamu yake ya KASUMBA,NOMGWA,MAKAME nk.

Mmoja ya washiriki wa filamu hiyo ya MSUNGO ambayo iko madukani kwa sasa.
 
Madebe Lidai


EmoticonEmoticon