Jumatatu, 24 Oktoba 2016

BIEBER AONESHA JEURI YA PESA.

Tags

Wakati wewe unawaza utakula nini mwingine anafikilia atatumia vipi,hilo amedhihirisha Justin Bieber kwa kupangisha nyumba ya kifahari North London kwa kile alichodai kufurahia mazingira ya neneo hilo.
Kwa mujibu wa Dily mail licha ya kulikodi kwa Euro 1.3 mil. Bieber hata hamishia maisha yake kwenye jumba hilo bali atakua akitembelea mara kadhaa kutokana na kuvutiwa na mazingira.
Jumba hilo linatajwa klua na vyumba 15 vya kulala,ukumbi wa sinema,bwawa la kuogelea na baa.


EmoticonEmoticon