Jumamosi, 5 Novemba 2016

HUU NDIO WIMBO MPYA WA ALI KIBA NA OMMY DIMPOZ.

Tags

Mkali wa bongo Fleva Ali kiba amefunguka na kusema wazi juu ya ujio wa wimbo mpya ambao amemshirikisha Ommy Dimpoz uiitwao KAJIANDAE.
Kiukweli ni wimbo mzuri pili maandaizi ya video tumeshafanya na jina la wimbo unaitwa Kajiandae,So mashabiki wangu na mashabiki wa Ommy Dimpoz wakati wowote watatpata radha nzuri tu kwani najua ni kitu gani mashabiki wa mziki wangu wanachotaka kutoka kwangu..Alisema ALI KIBA.


EmoticonEmoticon