Alhamisi, 20 Oktoba 2016

SAIDI:NIMETOLEWA MACHO, SI AKILI.

Tags

Kijana aliyeshambuliwa na kutolewa macho usiku wa septemba 6 akiwa buguruni jijini Dar es salaam na habari zake kutawala katika vyombo vya habari na mitandao bw. Saidi ALLY amesema kutolewa macho sio mwisho wa maisha yake.>>Nashukuru nimepata misaada mbalimbali kutoka kwa wadau na kwa kua imekuja kama mitaji, Nitasimamia biashara hiyo nikishirikiana na mke wangu pamoja na ndugu zangu.Nina imani nitaishi mpaka siku Mungu aliyoniandikia kua nitaondoka Duniani,..Nimetolewa macho,si akili nitahakikisha vitu nilivyopewa vitatumika kwa manufaa na familia yangu na nitahakikisha inaishi maisha ya kawaida. Binafsi naamioni Mungu ndiye muwez wa yote na hakuna linalomshinda,hivyo sijakata tamaa naamini nitaona na maisha yataendelea kama kawaida.


EmoticonEmoticon