Alhamisi, 20 Oktoba 2016

NCHI ZINAZOONGOZA KUA NA WANAFUNZI WENYE AKILI ZAIDI DUNIANI.

Tags

Orodha ya ubora wa vyuo vikuu hutawaliwa na vyuo vikuu kutoka Marekani na Uengereza kama vile Harvard,MIT,Stanford,Oxford, CAMBRIGDE etc.Lakini baada ya Shirika la kimataifa la Uchunguzi wa maendeleo(OECD) kuchunguza uwezo wa kusoma na kuandika miongoni mwa wahitimu kutoka vyuo vikuu Duniani wanafunzi walio bora zaidi wanatoka Japan na Finland na wala sio Marekani na Uengereza.Nchi zenye wanafunzi bora zaidi wanao hitimu kwa mujibu wa OECD ni 1.JAPAN,2.FINLAND,3.UHOLANZI,4.AUSTRALIA,5.NORWAY,6.UBELGIJI,7.NEW ZEALAND,8.ENGLAND,9.MAREKANI,10.JAMHURI YA CZECH.


EmoticonEmoticon