Mwanafunzi David Ngangu mwenye umri wa miaka 14 amefariki dunia baada ya kupokea kipigo kutoka kwa mwalimu wake baada ya kufeli somo la maarifa ya jamii.Mwanafunzi huyo ambaye alikua akisoma darasa la 8 katika shule ya msingi Subukia nchini Kenya alifariki saa chache baada ya kipigo.Mama mzazi wa mwanafunzi huyo alisema mtoto huyo alilalamika maumivu ya kichwa kutokana na kipigo cha mwalimu kisa ikiwa ni kufeli na kushidwa kufika wastani wa somo la maarifa ya jamii_The starndard
About Me
Alhamisi, 20 Oktoba 2016
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
EmoticonEmoticon