Jumamosi, 5 Novemba 2016

MWANAMKE MWENYE MACHO YA KUSHANGAZA AFUNGWA JELA.

Tags

Mhamiaji kutoka AFGHANISTAN ,ambaye alipata umaarufu picha yake ilipochapishwa kwanza katika jarida la National Geographic miaka thelathini iliyopita amekamatwa.
Maafisa wamesema amekamatwa kwa kua na nyaraka bandia za vitambulisho.
Sharbat GULA alipata umaarufu mwaka 1985 kutokana na piha hiyo iliyopigwa akiwa na umri wa miaka 12.Macho yake yalikua na rangi ya kijani jambo amabalo lilifanya kufahamika kwa jina la GREEN EYED GIRL.
Maafisa wanasema alikamatwa na idara ya uchunguzi ya Pakistani(FIA) baada ya kuwasilisha maombi ya kitambulisho akitumia jina la SHARBAT BIBI.


EmoticonEmoticon