Jumamosi, 5 Novemba 2016

TRUMP:CLINTON ATAANZISHA VITA KUU YA TATU YA DUNIA.

Tags

Mgombea wa urais wa Marekani kupitia chama cha Democratic bw.Donald Trump amesema mpango wa mpinzani wake Hilary Clinton kuhusu kutatua mzozo wa SYRIA UTAANZISHA VITA KUU YA TATU YA DUNIA.
Amesema Marekani inafaa kuangazia zaidi kushinda vita dhidi ya kundi la ISLAMIC STATE badala ya kulenga kumshawishi au kumshinikiza Rais wa SYRIA Bashar Assad kungatuka uongozini.
Bwn.Trump pia amewashambulia wafuasi na na viongozi wa Republican ambao wamekataa kumuunga mkono...


EmoticonEmoticon