Jumamosi, 15 Oktoba 2016

TOFAUTI YA MADEBE LIDAI NA WASANII WENGINE WA BONGO MOVIES

Tags

Soko la tasnia ya Filamu nchini limeendelea kudorora kila siku iendayo kwa MUNGU. Na hii imetoana na kile kinachoitwa unyonyaji wa Wasambazaji wa Film nchini.Kutokana na kushuka huku kwa soko la filamu inayopelekea waandaaji wa kazi hizo za sanaa kutumia nguvu nyingi katika kuandaa kazi zao na malipo huwa kiduchu.Akipiga story na DULLAH MASENDE BLOG director wa movies za kibongo nchini ENOCK MSUMA amesema suala la kushuka kwa soko la filamu nchini limetokana na wasanii wakongwe kutokua wabunifu na pia kuwanyima nafasi ya kuonesha vipaji vyao wasanii wachanga katika kazi zao.Yaani hawa jamaa wanaogopa kufunikwa na underground na ndio maana hawataki kuwashirikisha katika kazi zao,alisema ENOCK. Akimtolea mfano MADEBE LIDAI anasema ENOCK kua mtazame MADEBE yuko kivyake sana na kazi zake zinaenda vizuri na hii imetokana na Madebe kujielewa na kutokua na mawazo ya kutolewa na mastaa ambao wanajiona wao ni wao na hawataki kuwasikiliza wasanii wachanga pindi wanapowaita katika kazi zao.Akiendelea kusema msuma...Yaani kaka soko limeshuka ni kutokana na hao wanaojiita mastaa kutokua wabunifu sasa unafikiri MUHINDI atanunua kazi mbovu? alihoji Msuma....na hawataki kuwashirikisha wasanii wachanga kwa kuhofia kufunikwa kwani wasanii wachanga wana kiu ya kufanikiwa hivyo wanapopata nafasi wanaitumia kikamilifu.Madebe lidai ni msanii ambaye amefanya kazi nyingi ikiwemo KASUMBA,NONGWA,MAKAME na nyinginezo.Akiongea na blog hii amesema anasambaza Kazi zake mwenyewe baada ya kugundua kufanya hivyo kuna faida kubwa kul
Madebe lidai(kushoto) akiwa katika moja ya kazi yake mpya
iko kwenda kummuzia MUHINDI.

1 comments so far

hivi ndio nimeanza jamani naombeni sapoti yenu na kama kuna makosa yoyote naomba tusahihishane na tupeane maoni kipi kiongezwe na kipi kipunguzwe.


EmoticonEmoticon